Saturday, February 7, 2009

Kumbikumbi Weusi!

Wakiviziwa toka shimoni.
Baada ya kudakwa kabla hawajaruka.

Baada ya kupikwa.
Mimi binafsi ndio mara ya kwanza nawaona wadudu hawa na cha kushangaza nimeambiwa wanaliwa. Kumbikumbi niwajuao mie sio type hii ya leo.
Tembea uone.



No comments:

Post a Comment

Be good.