Image003.jpg)
Ukiachilia mbali chips za mahotelini, kwa wakazi wa Mtwara mjini wanapafahamu hapa.
...vipande hivi nya magazeti vimavirigwa tayari kwa kufungi/kuvirigia bidhaa toka dukani kama sukari nk, cha kusikitisha pamoja na mbinu hii mbadala ya urahisi wa kubeba bidhaa husika ni kwamba wakati vinatayarishwa vilikuwa vipo chini kwenye ardhi. Hivyo kiafya inakuwa haijakidhi kisawa sawa kwa namna moja ama nyingine.Hiyo myeusi ni mipira itumikayo sana kufungia bidhaa/kitu/mzigo fulani kwa watumiaji wa baiskeli, hali hii ni kutokana ya kwamba kijijini baiskeli ndio njia rahisi ya usafiri wa haraka haraka.