Friday, January 23, 2009

Hii ni Imani au Baraka?

Nimebahatika kuona pindi niwapo katika mizunguko yango ya kila siku vijijini kwa gari na kushuhudia nyuma baada ya kupita kwa baadhi ya wanavijiji huchukua wanao wadogo na kwenda kuwakanyagisha zilipoacha/pita alama za matairi ya gari. Nimeshindwa kujua bado mpaka sasa ni nini maana yake!?
Wewe una ufahamu wowote juu ya hili?

No comments:

Post a Comment

Be good.