Friday, January 23, 2009

Mzani!!

Nilibahatika siku moja kukuta Nurse akisisitiza kwa akina mama kuja na kikalio kama kionekanacho pichani kwa ajili ya kupimia uzito watoto. Nurse huyo aliwaomba akina mama kushonesha kila mtu chake kuepuka kuambukizana magonjwa ya ngozi kati ya mtoto mmoja kwenda kwa mwingine. Kwa kweli nilifurahishwa na hilo hope pia wewe utasambaza elimu hii kwa jamii iliyokuzunguka.

No comments:

Post a Comment

Be good.